Kilimo Biashara
Kilimo Biashara
  • Видео 58
  • Просмотров 1 322 686
UKITAKA MALI, UTAIPATA SHAMBANI
Dickson ni mkulima wa nyanya,
Mahitaji ya nyanya sokoni ni Kila siku, hivyo mkulima ni muhimu awe anazalisha nyanya muda wote.kijana huyu alipata vifaa ya umwagiliaji kwa matone kutoka FAO ambayo vimemsaidia kuendelea na uzalishaji hata kipindi cha kiangazi.Pia,benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania(TADB) imemsaidia katika kufikia malengo yake..
Просмотров: 4 581

Видео

Vijana na Kilimo
Просмотров 4,8 тыс.4 года назад
Vijana na Kilimo
SEA CUCUMBER FARMING
Просмотров 12 тыс.4 года назад
The Holothuria scabra species of sea cucumbers may not be pretty, but they are lucrative. Depending on quality, this grey filter feeder currently earns farmers up to USD 100 per kilogram once dried. They are in hot demand on the Asian market because with increasing pollution in East Asia’s shallow waters, local sea cucumbers are diminishing. Consequently, China is looking to import these delica...
VIAZI MVIRINGO (CHIPS RECODA ENGLISH CAPTION)
Просмотров 1,7 тыс.4 года назад
Tanzania is one of the top five (Malawi, South Africa, Rwanda, Nigeria and Tanzania) producers and consumers of potatoes and potato products in Sub-Saharan Africa. In the areas of Tanzania where they are grown, potatoes are among the leading cash crops for smallholder farmers. For example, over 80% of the potatoes grown are sold for cash income (compared to 40 -50% for beans, maize and rice) (M...
KILIMO HIMILIVU (The Building Capacity for Resilient Food Security Project in Tanzania)
Просмотров 8664 года назад
Video ya mradi wa Kujenga Uwezo katika Kilimo Himilivu kwa Mabadiliko ya Tabianchi #Kilimo Himilivu (The Building Capacity for Resilient Food Security Project in Tanzania). Mradi wa Kujenga Uwezo katika Kilimo Himilivu kwa Mabadiliko ya Tabianchi nchini Tanzania unafadhiliwa na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kwa kushirikiana na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (URT), kupit...
imbibia
Просмотров 9754 года назад
imbibia
Stori ya Ruth
Просмотров 2,2 тыс.4 года назад
Ruth 27, badala ya kutumia fedha 200,000/= aliyopewa na wazazi wake kwa ajili ya mahafali ya chuo akaamua kuanzisha ufugaji kuku na mpaka sasa ana kuku 500 wenye thamani ya Tsh. 3,200,000/=. "Ukitaka mali utaipata shambani"
KILIMO CHA VIAZI MVIRINGO
Просмотров 27 тыс.4 года назад
Kwa sasa kuna msukumo mkubwa wa uzalishaji hasa ukizingatia ongezeko la walaji katika miji inayokua kwa kasi. Kwa sababu hiyo viazi mviringo ni zao muhimu la biashara na pia kwa ajili ya usalama wa chakula nchini. Kilimo Trust kwa kushirikiana na wadau wanatekeleza mradi wa CHIPS unaofadhiliwa na Comic Relief(rilifu) unaolenga kuongeza kipato kwa kaya zinazojishughulisha na kilimo na biashara y...
KILIMO CHA MPUNGA IRINGA II
Просмотров 8 тыс.4 года назад
Mradi wa RICE unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya ni moja ya jitihada za kupunguza changamoto ya upotevu wa mazao baada ya kilimo. Mradi huu unatekelezwa na Shirika la Chakula na Kilimo duniani (FAO) likishirikiana na serikali, halmashauri ya wilaya ya Iringa na Taasisi ya Maendeleo vijijini na Mijini (RUDI). Lengo Kuu la mradi ni Kupunguza umaskini vijijini kupitia kuboresha ushindani wa wakulima ...
KILIMO CHA MAHINDI
Просмотров 49 тыс.4 года назад
Mahindi ni chakula kikuu katika nchi nyingi Africa ikiwemo Tanzania, mahindi ni lishe kuu kwa zaidi ya asilimia 50 ya watu, mahindi yana virutubisho vingi sana ikiwemo wanga, vitamin B, protini na madini, ambapo ni muhimu sana kwa afya zetu, mahindi huliwa kama ugali, japo wengine pia hupenedelea kula kama mahindi ya kuchoma Mradi wa kuboresha myororo wa thamani katika zao la mahindi Tanzania u...
SYSTEM OF RICE INTENSIFICATION TRANSFORMING LIVES IN TANZANIA
Просмотров 3,3 тыс.5 лет назад
Rice production in United Republic of Tanzania is increasingly becoming important to the national economy. It is among the major sources of employment and income for many farming households. Rice is mainly produced by small-scale farmers. While Tanzania meets 98% of its own rice demand, rice productivity in the country is low. This is mainly aggravated by the impacts of climate change, inadequa...
HYDROPONICS
Просмотров 23 тыс.5 лет назад
Kilimo cha kisasa pasipo matumizi ya udongo "Hydroponics"
KILIMO CHA MPUNGA (SHADIDI)
Просмотров 38 тыс.5 лет назад
Kilimo shadidi cha mpunga kimekua mbinu pekee yenye tija kwa wakulima wa mpunga Tanzania na kubadili maisha yao kiuchumi, Tazama namna maisha yao yalivyo badilika. Makala hii imeandaliwa kwa ushirikiano wa karibu na shirika la FAO
RICE PROJECT IRINGA
Просмотров 8945 лет назад
RICE Project Reduce post-harvest Losses Improve practices Competiveness in market Enhance Livelihoods Post-harvest Management for Competitiveness Iringa District The RICE project is funded by the European Union and implemented by the Food and Agriculture Organization of the United Nations (FAO) in collaboration with Iringa District and the Rural Urban Development Initiative (RUDI).
RICE POST HARVEST MANAGEMENT FOR COMPETITIVENESS
Просмотров 8 тыс.5 лет назад
Kuzuia upotevu wa mazao baada ya kilimo , kuanzia uvunaji mpaka kuongeza thamani na kupata bei nzuri ya mazao. Makala hii imeandaliwa kwa ushirikiano na shirika la chakula duniani FAO, ikiangazia mradi wa RICE unaotekelezwa na FAO, Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Kilimo na RUDI kwa ufhadhili wa umoja wa ulaya "EUROPEAN UNION"
MBEGU ZA MITI
Просмотров 7 тыс.5 лет назад
MBEGU ZA MITI
MKULIMA MBUNIFU KILIMO HAI
Просмотров 6 тыс.5 лет назад
MKULIMA MBUNIFU KILIMO HAI
KILIMO CHA PARACHICHI NJOMBE
Просмотров 46 тыс.6 лет назад
KILIMO CHA PARACHICHI NJOMBE
UFUGAJI KUKU CHOTARA
Просмотров 97 тыс.6 лет назад
UFUGAJI KUKU CHOTARA
KILIMO CHA NYANYA CHUNGU "NGOGWE"
Просмотров 44 тыс.6 лет назад
KILIMO CHA NYANYA CHUNGU "NGOGWE"
KILIMO CHA ALIZETI (S01 E02)
Просмотров 41 тыс.6 лет назад
KILIMO CHA ALIZETI (S01 E02)
UMWAGILIAJI WA MATONE
Просмотров 11 тыс.6 лет назад
UMWAGILIAJI WA MATONE
KILIMO CHA MITI "MIKARATUSI"
Просмотров 20 тыс.6 лет назад
KILIMO CHA MITI "MIKARATUSI"
KILIMO HAI
Просмотров 1,8 тыс.6 лет назад
KILIMO HAI
KITUNGUU MAJI
Просмотров 65 тыс.6 лет назад
KITUNGUU MAJI
PILI PILI HOHO YA NJANO
Просмотров 9 тыс.6 лет назад
PILI PILI HOHO YA NJANO
HYBRID SUNFLOWER SEEDS PERFORMANCE IN TANZANIA
Просмотров 32 тыс.6 лет назад
HYBRID SUNFLOWER SEEDS PERFORMANCE IN TANZANIA
FEED THE FUTURE MBOGA NA MATUNDA
Просмотров 9746 лет назад
FEED THE FUTURE MBOGA NA MATUNDA
SYSTEM OF RICE INTENSIFICATION TRANSFORMING LIVES IN TANZANIA
Просмотров 6226 лет назад
SYSTEM OF RICE INTENSIFICATION TRANSFORMING LIVES IN TANZANIA
RICE FARMING IN TANZANIA
Просмотров 35 тыс.6 лет назад
RICE FARMING IN TANZANIA

Комментарии

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o День назад

    Naomba namba ya mtaalam wa kilimo wa mkongo

  • @MikaMwasenga
    @MikaMwasenga 2 дня назад

    Uko wapi mkulima

  • @robertligoha3481
    @robertligoha3481 9 дней назад

    Mpaka leo wanaleta kaka.

  • @MohamedAkida-c9u
    @MohamedAkida-c9u 11 дней назад

    mm naitaji kujifunza

  • @youseftakwin5586
    @youseftakwin5586 12 дней назад

    Bonjour, comment obtenir la graine pour la planter

  • @zamukahemele1505
    @zamukahemele1505 Месяц назад

    Kahamia kwenye parachichi huyo

  • @user-if4sr2mt2d
    @user-if4sr2mt2d Месяц назад

    No zeni please

  • @user-if4sr2mt2d
    @user-if4sr2mt2d Месяц назад

    Asante Sana Lakini nahitaji mbegu nafanyaje

  • @mussampeyama6795
    @mussampeyama6795 Месяц назад

    Nguzo inayotakiwa ni urefu wa futi ngapi

  • @brianmathias3312
    @brianmathias3312 Месяц назад

    Uko vizuri sana dada

  • @bujamoviesonline8553
    @bujamoviesonline8553 Месяц назад

    Tunaomba contract ili tufike kujifunza

  • @ashurayassin2541
    @ashurayassin2541 2 месяца назад

    Kwasasa vinapatikana wapi?

  • @FeruziIsa-nc5vo
    @FeruziIsa-nc5vo 2 месяца назад

    Nyie watu siasa mnaweka mbele sana kuliko elimu halisi kwa mkulima

  • @isackkonyoka
    @isackkonyoka 2 месяца назад

    Naomba kuunganishwa na hili group jaman

  • @WelibertPeter
    @WelibertPeter 2 месяца назад

    Habar mkoa wa shin,yanga mbegu ip inahimili hali za mkoa huo

  • @andrewmtabazi5894
    @andrewmtabazi5894 2 месяца назад

    Mko vizuri

  • @MweyaMalili
    @MweyaMalili 3 месяца назад

    Nahitaji kuanza kulima viruguu nianzie wapi? Na ni mbegu gani bora ya vitunguu

  • @user-so9nd6ei1w
    @user-so9nd6ei1w 3 месяца назад

    Naomba namba

  • @user-ue7sd9qg9s
    @user-ue7sd9qg9s 5 месяцев назад

    Ok

  • @SahaniKihongwe
    @SahaniKihongwe 5 месяцев назад

    Mbona mbegu hamsemi mlio tumio

  • @user-or7yz8de9u
    @user-or7yz8de9u 6 месяцев назад

    Nitapata wapi mayai ya kienyeji

  • @user-zo7gj3yi5v
    @user-zo7gj3yi5v 6 месяцев назад

    Nawezaje kupa bwana shamba

  • @jerominipatrice3560
    @jerominipatrice3560 6 месяцев назад

    Greenhouse zinatengezezwaje mnaeza tusaidia namba?

  • @jerominipatrice3560
    @jerominipatrice3560 6 месяцев назад

    Mbegu za njano na nyekundu wapi napata asee na zinaitwaje au kampuni gani?

  • @azizahomed3701
    @azizahomed3701 6 месяцев назад

    Naombeni namba zenu

  • @MasotaLilaEnock
    @MasotaLilaEnock 7 месяцев назад

    Naomba na mm mnielekeze

  • @moteyelectricalacademy3756
    @moteyelectricalacademy3756 8 месяцев назад

    Good

  • @mlionea
    @mlionea 9 месяцев назад

    Mbona mnasema kilo za mafuta! Semeni litres!!!!!!!!

  • @officialjbk8827
    @officialjbk8827 9 месяцев назад

    mbona hamtoi namna yakulima mpunga mnatuonyesha historia za watu tu Documentary inatakiwa ijae action sio maneno jaman Izi documentary za maneno uwa hazivutii

  • @ezekielmahalu4224
    @ezekielmahalu4224 9 месяцев назад

    Nimefurahi sana kwa elimu hii japo kidogo Napenda kujifunza zaidi juu ya kilimo hai, je napataje hayo majarida?

  • @manjoriwakunesa7006
    @manjoriwakunesa7006 10 месяцев назад

    Nikitaka ngombe napataje

  • @user-oy5me9nz3x
    @user-oy5me9nz3x 10 месяцев назад

    Mko wp nina shamba la mtiki natk niuze

  • @user-qz3nw2me3m
    @user-qz3nw2me3m 10 месяцев назад

    wapi naweza pata mbegu hii

  • @peninamilanzi3619
    @peninamilanzi3619 11 месяцев назад

    Asante kwa elimu na mimi naomba kufundishwa elimu hii ya kilimo hai

  • @hashirumashina9791
    @hashirumashina9791 11 месяцев назад

    Pol temble kamali/kubet

  • @user-bk8bv5dm5d
    @user-bk8bv5dm5d Год назад

    Khams. Ntakupat wap

  • @user-bk8bv5dm5d
    @user-bk8bv5dm5d Год назад

    Naipend kaz hiy

  • @TuliTweve-ti3fx
    @TuliTweve-ti3fx Год назад

    Naomba namba zenuu

  • @TuliTweve-ti3fx
    @TuliTweve-ti3fx Год назад

    Gharama ya kulimia

  • @emmykharifa1450
    @emmykharifa1450 Год назад

    kilima Cha mahindi

  • @herojimmy9493
    @herojimmy9493 Год назад

    I want to know more information please.

  • @alexnikole-qz7kp
    @alexnikole-qz7kp Год назад

    Hekari moja inatoa kiasi gani cha maindi

  • @goodluckkirango9820
    @goodluckkirango9820 Год назад

    naweza kupata namba zetu ilikupata vifaranga

  • @ayubumitiakimitiakikivuy-fo3yp

    simlete huku kilindi jamani

  • @hamisibofu5940
    @hamisibofu5940 Год назад

    Soko la pilipili hoho za njano liko wap na likoje

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Год назад

    Kipindi kizuri, lkn mfugaji kama huyu , pamoja na kwamba ni mfano wa kuigwa, ila. Siyo asilimia 100. Kwanza anaposema kuongeza thamani, yeye namkumbukq alikwisha wahi , kuanzisha butchery ya nyama, lakini alishindwa kumudu sokoni. Kwa hiyo tukumbuke hawa walimu, wanajua kuongea ti. Lkn siyo uhalisia, bado ni vigumu wadau

  • @kefasimwashitete4766
    @kefasimwashitete4766 Год назад

    Wow what a good project

  • @jamesmakala9548
    @jamesmakala9548 Год назад

    Ahsanteni sana kwa kipindi kizuri inapendeza sana. Huyu Bwana Shukrani Biseko anapatikanaje?

  • @bonfasmahenge
    @bonfasmahenge Год назад

    Nikweli vijana wengi tunapenda vitu lahisi tuludi huku tunapote Asante kwa ushauli mtalam

  • @kennethamman9492
    @kennethamman9492 Год назад

    Ulianza na sungura wangapi